Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 9:11 - Swahili Revised Union Version

11 Na nyama, na ngozi akaziteketeza nje ya kambi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Lakini ile ngozi akaiteketeza kwa moto nje ya kambi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Lakini ile ngozi akaiteketeza kwa moto nje ya kambi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Lakini ile ngozi akaiteketeza kwa moto nje ya kambi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Akateketeza nyama na ngozi nje ya kambi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Akateketeza nyama na ngozi nje ya kambi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Na nyama, na ngozi akaziteketeza nje ya kambi.

Tazama sura Nakili




Walawi 9:11
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha atamchukua huyo ng'ombe nje ya kambi, na kumteketeza vile vile kama alivyomteketeza ng'ombe wa kwanza; ni sadaka ya dhambi kwa ajili ya mkutano.


Lakini huyo ng'ombe mwenyewe, na ngozi yake, na nyama yake, na mavi yake, akaviteketeza nje ya kambi; vile vile kama BWANA alivyomwagiza Musa.


lakini mafuta, na figo, na kitambi kilichotoka katika ini ya hiyo sadaka ya dhambi, akaviteketeza juu ya madhabahu, kama BWANA alivyomwagiza Musa.


Naye akaichinja sadaka ya kuteketezwa; na wanawe Haruni wakamsogezea ile damu, naye akainyunyiza katika madhabahu pande zote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo