Walawi 7:11 - Swahili Revised Union Version
Na sheria ya matoleo ya sadaka za amani, atakazosongeza mtu kwa BWANA, ni hii.
Tazama sura
Matoleo zaidi
“Ufuatao ni mwongozo wa ibada kuhusu sadaka za amani ambazo mtu aweza kumtolea Mwenyezi-Mungu.
Tazama sura
“Ufuatao ni mwongozo wa ibada kuhusu sadaka za amani ambazo mtu aweza kumtolea Mwenyezi-Mungu.
Tazama sura
“Ufuatao ni mwongozo wa ibada kuhusu sadaka za amani ambazo mtu aweza kumtolea Mwenyezi-Mungu.
Tazama sura
“ ‘Haya ndio masharti kwa ajili ya sadaka ya amani ambayo mtu aweza kuileta kwa Mwenyezi Mungu:
Tazama sura
“ ‘Haya ndiyo masharti kwa ajili ya sadaka ya amani ambayo mtu aweza kuileta kwa bwana:
Tazama sura
Na sheria ya matoleo ya sadaka za amani, atakazosongeza mtu kwa BWANA, ni hii.
Tazama sura
Tafsiri zingine