Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 3:14 - Swahili Revised Union Version

Naye atasongeza katika sadaka hiyo matoleo yake, dhabihu kwa BWANA kwa njia ya moto; yaani, mafuta yafunikayo matumbo, na mafuta yote yaliyo katika matumbo,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha, mafuta yote yanayofunika matumbo

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha, mafuta yote yanayofunika matumbo

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha, mafuta yote yanayofunika matumbo

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Katika ile sadaka anayotoa, atatoa hii sadaka ya kuteketezwa kwa Mwenyezi Mungu: mafuta yote yanayofunika sehemu za ndani na yale yanayoungana nazo,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kutokana na ile sadaka anayotoa, atatoa sadaka hii kwa bwana kwa moto: mafuta yote yanayofunika sehemu za ndani na yale yanayoungana nazo,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye atasongeza katika sadaka hiyo matoleo yake, dhabihu kwa BWANA kwa njia ya moto; yaani, mafuta yafunikayo matumbo, na mafuta yote yaliyo katika matumbo,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 3:14
13 Marejeleo ya Msalaba  

Msiile mbichi, wala ya kutokoswa majini, bali imeokwa motoni; kichwa chake pamoja na miguu yake, na nyama zake za ndani.


Mwanangu, nipe moyo wako; Macho yako yapendezwe na njia zangu.


Nilitoka tumboni kwa sababu gani, kuona taabu na huzuni, hata siku zangu ziharibike katika aibu?


naye ataweka mkono wake kichwani mwake, na kumchinja hapo mbele ya hema ya kukutania; na wana wa Haruni watainyunyiza damu yake katika madhabahu pande zote.


na figo zake mbili, na mafuta yaliyoshikamana nazo, yaliyo karibu na kiuno chake, na kitambi kilicho katika ini pamoja na hizo figo mbili; hayo yote atayaondoa.


Kisha atayaondoa mafuta yake yote, kama vile mafuta yanavyoondolewa katika hizo sadaka za amani; kisha kuhani atayateketeza juu ya madhabahu, iwe harufu ya kupendeza kwa BWANA; na kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake, naye atasamehewa.


nao wakayaweka hayo mafuta juu ya vidari, naye akayateketeza mafuta juu ya madhabahu;


Akamwambia, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote.


Ndipo akawaambia, Roho yangu ina huzuni nyingi kiasi cha kufa; kaeni hapa, mkeshe pamoja nami.