Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waebrania 9:16 - Swahili Revised Union Version

Maana agano la urithi lilipo, lazima iwepo mauti yake aliyelifanya.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa kawaida wosia hutambuliwa tu kama kifo cha yule aliyeufanya huo wosia kimethibitishwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa kawaida wosia hutambuliwa tu kama kifo cha yule aliyeufanya huo wosia kimethibitishwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa kawaida wosia hutambuliwa tu kama kifo cha yule aliyeufanya huo wosia kimethibitishwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa habari ya wosia, ni muhimu kuthibitisha kifo cha yule aliyeutoa,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa habari ya wosia, ni muhimu kuthibitisha kifo cha yule aliyeutoa,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana agano la urithi lilipo, lazima iwepo mauti yake aliyelifanya.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waebrania 9:16
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa hiyo, kama kwa mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, na kwa dhambi hiyo mauti; na hivyo mauti ikawafikia watu wote kwa sababu wote wamefanya dhambi;


Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti; bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu.


Kwa kuwa kama katika Adamu wote wanakufa, kadhalika na katika Kristo wote watahuishwa.


Yeye kwa kuwa ni mng'ao wa utukufu wa Mungu na chapa kamili ya nafsi yake, akivichukua vyote kwa amri ya uweza wake, akiisha kufanya utakaso wa dhambi, aliketi katika mkono wa kulia wa Ukuu huko juu;


Basi, Mungu wa amani aliyemleta tena kutoka kwa wafu Mchungaji Mkuu wa kondoo, kwa damu ya agano la milele, yeye Bwana wetu Yesu,


Na kwa sababu hii ni mjumbe wa agano jipya, ili, mauti ikiisha kufanyika kwa kukomboa makosa yaliyokuwa chini ya agano la kwanza, hao walioitwa waipokee ahadi ya urithi wa milele.


Kwa maana agano la urithi lina nguvu palipotukia kufa kwa mtu; kwa kuwa halina nguvu kabisa, akiwa yu hai yeye aliyelifanya.


Maana mtu awaye yote atakayeishika sheria yote, ila akajikwaa katika neno moja, amekosa juu ya yote.