Yakobo 2:10 - Swahili Revised Union Version10 Maana mtu awaye yote atakayeishika sheria yote, ila akajikwaa katika neno moja, amekosa juu ya yote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Anayevunja amri mojawapo ya sheria, atakuwa na hatia ya kuivunja sheria yote. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Anayevunja amri mojawapo ya sheria, atakuwa na hatia ya kuivunja sheria yote. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Anayevunja amri mojawapo ya sheria, atakuwa na hatia ya kuivunja sheria yote. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Kwa maana mtu yeyote anayeishika sheria yote lakini akajikwaa katika kipengele kimoja tu, ana hatia ya kuivunja sheria yote. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Kwa maana mtu yeyote anayeishika sheria yote lakini akajikwaa katika kipengele kimoja tu, ana hatia ya kuivunja sheria yote. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI10 Maana mtu awaye yote atakayeishika sheria yote, ila akajikwaa katika neno moja, amekosa juu ya yote. Tazama sura |