Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waebrania 5:6 - Swahili Revised Union Version

Kama asemavyo mahali pengine, Ndiwe kuhani milele Kwa mfano wa Melkizedeki.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alisema pia mahali pengine: “Wewe ni kuhani milele, kwa utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alisema pia mahali pengine: “Wewe ni kuhani milele, kwa utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alisema pia mahali pengine: “Wewe ni kuhani milele, kwa utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Pia mahali pengine asema, “Wewe ni kuhani milele, kwa mfano wa Melkizedeki.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Pia mahali pengine asema, “Wewe ni kuhani milele, kwa mfano wa Melkizedeki.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kama asemavyo mahali pengine, Ndiwe kuhani milele Kwa mfano wa Melkizedeki.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waebrania 5:6
10 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA ameapa, Wala hataghairi, Ndiwe kuhani hata milele, Kwa mfano wa Melkizedeki.


kisha ametajwa na Mungu kuwa kuhani mkuu kwa mfano wa Melkizedeki.


alimoingia Yesu kwa ajili yetu, mtangulizi wetu, amekuwa kuhani mkuu hata milele kwa mfano wa Melkizedeki.


Basi, kama ukamilifu ulikuwapo kwa ukuhani wa Lawi; (maana watu wale waliipata sheria kwa huo); kulikuwa na haja gani tena ya kuhani mwingine awepo, kwa mfano wa Melkizedeki, wala asihesabiwe kwa mfano wa Haruni?


Tena hayo tusemayo ni dhahiri sana zaidi, ikiwa ametokea kuhani mwingine kama Melkizedeki;


maana ameshuhudiwa kwamba, Wewe u kuhani milele Kwa mfano wa Melkizedeki.


(maana wale walifanywa makuhani pasipo kiapo; bali yeye, pamoja na kiapo, kwa yeye aliyemwambia, Bwana ameapa wala hataghairi, Wewe u kuhani milele;)


hana baba, hana mama, hana wazazi, hana mwanzo wa siku zake, wala mwisho wa uhai wake, bali amefananishwa na Mwana wa Mungu); huyo adumu kuhani milele.


Na hapa wanadamu wapatikanao na kufa hutwaa sehemu ya kumi; bali huko yeye ashuhudiwaye kwamba yuko hai.