Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waebrania 5:10 - Swahili Revised Union Version

10 kisha ametajwa na Mungu kuwa kuhani mkuu kwa mfano wa Melkizedeki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 naye Mungu akamteua kuwa kuhani mkuu kwa utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 naye Mungu akamteua kuwa kuhani mkuu kwa utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 naye Mungu akamteua kuwa kuhani mkuu kwa utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Naye amewekwa na Mungu kuwa Kuhani Mkuu kwa mfano wa Melkizedeki.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Naye amewekwa na Mungu kuwa Kuhani Mkuu kwa mfano wa Melkizedeki.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 kisha ametajwa na Mungu kuwa kuhani mkuu kwa mfano wa Melkizedeki.

Tazama sura Nakili




Waebrania 5:10
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na Melkizedeki mfalme wa Salemu akaleta mkate na divai, naye alikuwa kuhani wa Mungu Aliye Juu Sana.


BWANA ameapa, Wala hataghairi, Ndiwe kuhani hata milele, Kwa mfano wa Melkizedeki.


Hivyo ilimpasa kufananishwa na ndugu zake katika mambo yote, apate kuwa kuhani mkuu mwenye rehema, mwaminifu katika mambo ya Mungu, ili afanye kafara ya suluhu kwa dhambi za watu wake.


Kwa hiyo, ndugu watakatifu, wenye kuushiriki mwito wa mbinguni, mtafakarini sana Mtume na Kuhani Mkuu wa maungamo yetu, Yesu,


Yeye ambaye tuna maneno mengi ya kunena kuhusu habari zake; na ni shida kuyaeleza kwa kuwa mmekuwa wavivu wa kusikia.


alimoingia Yesu kwa ajili yetu, mtangulizi wetu, amekuwa kuhani mkuu hata milele kwa mfano wa Melkizedeki.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo