Waebrania 5:6 - Swahili Revised Union Version6 Kama asemavyo mahali pengine, Ndiwe kuhani milele Kwa mfano wa Melkizedeki. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Alisema pia mahali pengine: “Wewe ni kuhani milele, kwa utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Alisema pia mahali pengine: “Wewe ni kuhani milele, kwa utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Alisema pia mahali pengine: “Wewe ni kuhani milele, kwa utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Pia mahali pengine asema, “Wewe ni kuhani milele, kwa mfano wa Melkizedeki.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Pia mahali pengine asema, “Wewe ni kuhani milele, kwa mfano wa Melkizedeki.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI6 Kama asemavyo mahali pengine, Ndiwe kuhani milele Kwa mfano wa Melkizedeki. Tazama sura |