Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waebrania 3:11 - Swahili Revised Union Version

Kama nilivyoapa kwa hasira yangu, Hawataingia rahani mwangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, nilikasirika, nikaapa: ‘Hawataingia mahali pangu pa pumziko.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, nilikasirika, nikaapa: ‘Hawataingia mahali pangu pa pumziko.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, nilikasirika, nikaapa: ‘Hawataingia mahali pangu pa pumziko.’”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivyo nikatangaza kwa kiapo katika hasira yangu, ‘Kamwe hawataingia rahani mwangu.’”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hivyo nikatangaza kwa kiapo katika hasira yangu, ‘Kamwe hawataingia rahani mwangu.’ ”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kama nilivyoapa kwa hasira yangu, Hawataingia rahani mwangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waebrania 3:11
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo alipowainulia mkono wake na kuwaapia, Ya kuwa atawaangamiza jangwani,


Ndipo Nikaapa kwa hasira yangu Hawataingia katika pumziko langu.


Basi Mwamaleki na Mkanaani wakaa katika bonde; kesho geukeni, mkaende jangwani kwa njia iendayo Bahari ya Shamu.


Mimi BWANA nimekwisha nena, hakika yangu ndilo nitakaloutenda mkutano mwovu huu wote, waliokusanyika juu yangu; wataangamia katika nyika hii, nako ndiko watakakokufa.


Na siku tulizokuwa tukienda kutoka Kadesh-barnea hata tulipovuka kijito cha Zeredi, ilikuwa ni miaka thelathini na minane; maana, hata walipokwisha kuangamizwa watu wa vita kutoka kati ya kambi, kizazi chao chote, kama walivyoapiwa na BWANA.


Maana sisi tulioamini tunaingia katika pumziko lile; kama vile alivyosema, Kama nilivyoapa kwa hasira yangu, Hawataingia pumzikoni mwangu: ijapokuwa zile kazi zilimalizika tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu.


na tena kunena hapa napo, Hawataingia pumzikoni mwangu.


Basi, limesalia pumziko la sabato kwa watu wa Mungu.