Waebrania 3:11 - Swahili Revised Union Version11 Kama nilivyoapa kwa hasira yangu, Hawataingia rahani mwangu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Basi, nilikasirika, nikaapa: ‘Hawataingia mahali pangu pa pumziko.’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Basi, nilikasirika, nikaapa: ‘Hawataingia mahali pangu pa pumziko.’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Basi, nilikasirika, nikaapa: ‘Hawataingia mahali pangu pa pumziko.’” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Hivyo nikatangaza kwa kiapo katika hasira yangu, ‘Kamwe hawataingia rahani mwangu.’” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Hivyo nikatangaza kwa kiapo katika hasira yangu, ‘Kamwe hawataingia rahani mwangu.’ ” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI11 Kama nilivyoapa kwa hasira yangu, Hawataingia rahani mwangu. Tazama sura |