Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waebrania 10:18 - Swahili Revised Union Version

Basi, ondoleo la hayo likiwapo, hapana toleo tena kwa ajili ya dhambi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, dhambi zikisha ondolewa, hakutakuwa na haja tena ya kutoa tambiko za kuondoa dhambi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, dhambi zikisha ondolewa, hakutakuwa na haja tena ya kutoa tambiko za kuondoa dhambi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, dhambi zikisha ondolewa, hakutakuwa na haja tena ya kutoa tambiko za kuondoa dhambi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi haya yaliposamehewa, hakuna tena dhabihu yoyote inayohitajika kwa ajili ya dhambi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi haya yakiisha kusamehewa, hakuna tena dhabihu yoyote inayotolewa kwa ajili ya dhambi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi, ondoleo la hayo likiwapo, hapana toleo tena kwa ajili ya dhambi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waebrania 10:18
4 Marejeleo ya Msalaba  

Maana kwa toleo moja amewakamilisha hata milele hao wanaotakaswa.


Dhambi zao na uasi wao sitaukumbuka tena kabisa.


Basi, ndugu, kwa kuwa tuna ujasiri wa kupaingia patakatifu kwa damu ya Yesu,


Kama ndivyo, je! Dhabihu hazingekoma kutolewa; kwa maana waabuduo, wakiisha kusafishwa mara moja, wasingejiona tena kuwa na dhambi?