Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ruthu 2:16 - Swahili Revised Union Version

Tena mtoleeni kidogo katika matita na kukiacha, na akiokote, wala msimkataze.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Zaidi ya hapo, vuteni masuke kutoka katika matita na mumwachie aokote bila kumkaripia.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Zaidi ya hapo, vuteni masuke kutoka katika matita na mumwachie aokote bila kumkaripia.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Zaidi ya hapo, vuteni masuke kutoka katika matita na mumwachie aokote bila kumkaripia.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Badala yake, toeni masuke katika miganda, mwachieni ayaokote, na msimkemee.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Badala yake, toeni masuke katika miganda, mwachieni ayaokote, na msimkemee.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tena mtoleeni kidogo katika matita na kukiacha, na akiokote, wala msimkataze.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ruthu 2:16
11 Marejeleo ya Msalaba  

Ametoa kwa ukarimu, na kuwapa maskini, Haki yake yakaa milele, Pembe yake itatukuzwa kwa utukufu.


Amhurumiaye maskini humkopesha BWANA; Naye atamlipa kwa tendo lake jema.


Na Mfalme atajibu, akiwaambia, Amin, nawaambia, kadiri mlivyomtendea mmojawapo wa hao ndugu zangu walio wadogo, mlinitendea mimi.


kwa mahitaji ya watakatifu, mkifuata ukarimu; katika kukaribisha wageni mkijitahidi.


Maana nilikuwa na furaha nyingi na faraja kwa sababu ya upendo wako, kwa kuwa mioyo ya watakatifu imeburudishwa nawe, ndugu yangu.


Maana Mungu si dhalimu hata aisahau kazi yenu, na pendo lile mlilolidhihirisha kwa jina lake, kwa kuwa mmewahudumia watakatifu, na hata hivi sasa mngali mkiwahudumia.


Naye alipoinuka tena ili aende kuokota masazo, huyo Boazi aliwaagiza vijana wake akisema, Mwacheni aokote hata kati ya miganda, wala msimkemee.


Basi Ruthu akaokota mabaki shambani hadi jioni; kisha akazipura zile nafaka alizoziokota, zikawa yapata efa moja ya shayiri.