Ruthu 2:16 - Swahili Revised Union Version16 Tena mtoleeni kidogo katika matita na kukiacha, na akiokote, wala msimkataze. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Zaidi ya hapo, vuteni masuke kutoka katika matita na mumwachie aokote bila kumkaripia.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Zaidi ya hapo, vuteni masuke kutoka katika matita na mumwachie aokote bila kumkaripia.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Zaidi ya hapo, vuteni masuke kutoka katika matita na mumwachie aokote bila kumkaripia.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Badala yake, toeni masuke katika miganda, mwachieni ayaokote, na msimkemee.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Badala yake, toeni masuke katika miganda, mwachieni ayaokote, na msimkemee.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI16 Tena mtoleeni kidogo katika matita na kukiacha, na akiokote, wala msimkataze. Tazama sura |