Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ruthu 2:17 - Swahili Revised Union Version

17 Basi Ruthu akaokota mabaki shambani hadi jioni; kisha akazipura zile nafaka alizoziokota, zikawa yapata efa moja ya shayiri.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Basi Ruthu aliendelea kuokota masuke mpaka jioni; na baada ya kupura hiyo shayiri alipata debe moja na zaidi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Basi Ruthu aliendelea kuokota masuke mpaka jioni; na baada ya kupura hiyo shayiri alipata debe moja na zaidi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Basi Ruthu aliendelea kuokota masuke mpaka jioni; na baada ya kupura hiyo shayiri alipata debe moja na zaidi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Basi Ruthu akaokota masazo shambani hata jioni. Akatwanga ile shayiri aliyokusanya, ikajaa efa moja.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Basi Ruthu akaokota masazo shambani hata jioni. Akatwanga ile shayiri aliyokusanya, ikajaa efa moja.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Basi Ruthu akaokota mabaki shambani hadi jioni; kisha akazipura zile nafaka alizoziokota, zikawa yapata efa moja ya shayiri.

Tazama sura Nakili




Ruthu 2:17
5 Marejeleo ya Msalaba  

Hiyo omeri ni sehemu kumi ya efa.


Huangalia sana njia za watu wa nyumbani mwake; Wala hali chakula cha uvivu.


Tena mtoleeni kidogo katika matita na kukiacha, na akiokote, wala msimkataze.


Akajitwika, akaenda zake mjini. Akamwonesha mkwewe zile alizoziokota; akavitoa vile vyakula alivyovisaza alipokwisha kushiba, akampa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo