Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Nehemia 7:43 - Swahili Revised Union Version

Walawi; Wana wa Yeshua, wa Kadmieli wa wana wa Hodavia, sabini na wanne.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Walawi wa ukoo wa Yeshua, yaani Kadmieli, wazawa wa Hodavia waliorudi kutoka uhamishoni walikuwa 74.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Walawi wa ukoo wa Yeshua, yaani Kadmieli, wazawa wa Hodavia waliorudi kutoka uhamishoni walikuwa 74.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Walawi wa ukoo wa Yeshua, yaani Kadmieli, wazawa wa Hodavia waliorudi kutoka uhamishoni walikuwa 74.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Walawi: wazao wa Yeshua (kupitia Kadmieli kupitia jamaa ya Hodavia), sabini na wanne (74).

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Walawi:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Walawi; Wana wa Yeshua, wa Kadmieli wa wana wa Hodavia, sabini na wanne.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Nehemia 7:43
7 Marejeleo ya Msalaba  

Walawi; wazawa wa Yeshua, wazawa wa Kadmieli wa wawazawa wa Hodavia, sabini na wanne.


na ndugu zao, Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani;


Basi hawa ndio viongozi wa jimbo waliokaa Yerusalemu; ila mijini mwa Yuda wakakaa kila mtu katika milki yake mijini mwao, yaani, Israeli, makuhani, na Walawi, na Wanethini, wazawa wa watumishi wa Sulemani.


Tena Walawi; Yeshua, Binui, Kadmieli, Sherebia, Yuda, na Matania, aliyekuwa juu ya shukrani, yeye na ndugu zake.


Na baada yao Refaya, mwana wa Huri akajenga, mtawala wa nusu ya Yerusalemu.


Wana wa Harimu, elfu moja na kumi na saba.


Waimbaji; Wana wa Asafu, mia moja arubaini na wanane.