Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Nehemia 4:9 - Swahili Revised Union Version

Bali sisi tulimwomba dua Mungu wetu, tena tukaweka walinzi, mchana na usiku, kwa sababu yao, ili kuwapinga.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ndipo tulipomwomba Mungu wetu na kuweka ulinzi dhidi yao, mchana na usiku.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ndipo tulipomwomba Mungu wetu na kuweka ulinzi dhidi yao, mchana na usiku.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ndipo tulipomwomba Mungu wetu na kuweka ulinzi dhidi yao, mchana na usiku.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini tulimwomba Mungu wetu, na tukaweka ulinzi usiku na mchana kupambana na tishio hili.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini tulimwomba Mungu wetu, na tukaweka ulinzi usiku na mchana kupambana na tishio hili.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Bali sisi tulimwomba dua Mungu wetu, tena tukaweka walinzi, mchana na usiku, kwa sababu yao, ili kuwapinga.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Nehemia 4:9
15 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwambia, Jina lako hutaitwa tena Yakobo, ila Israeli, maana umeshindana na Mungu, na watu, nawe umeshinda.


Lakini Yuda wakasema, Nguvu zao wapagazi zimedhoofika, bado kuna vifusi tele; hatuwezi kuujenga ukuta.


Nao adui zetu wakasema, Hawatajua wala kuona, hadi tutakapokuja kati yao, na kuwaua, na kuikomesha kazi hiyo.


Yeye huitangua mipango ya wadanganyifu, Mikono yao isipate kuyatimiza makusudi yao.


BWANA huyabatilisha mashauri ya mataifa, Huitangua mipango ya watu.


Uniite siku ya mateso; Nitakuokoa, nawe utanitukuza.


Macho ya BWANA humhifadhi mwenye maarifa; Bali huyapindua maneno ya mtu haini.


Kesheni, mwombe, msije mkaingia majaribuni; roho iko radhi, lakini mwili ni dhaifu.


Basi, kesheni ninyi kila wakati, mkiomba, ili mpate kuokoka katika haya yote yatakayotokea, na kusimama mbele za Mwana wa Adamu.


Muwe na kiasi na kukesha; kwa kuwa mshitaki wenu Ibilisi, kama simba angurumaye, huzunguka zunguka, akitafuta mtu ammeze.