Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Nehemia 11:36 - Swahili Revised Union Version

Na wa Walawi, wengine walikaa katika Yuda na wengine katika Benyamini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baadhi ya Walawi wa Yuda walichanganyikana na watu wa Benyamini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baadhi ya Walawi wa Yuda walichanganyikana na watu wa Benyamini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Baadhi ya Walawi wa Yuda walichanganyikana na watu wa Benyamini.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baadhi ya makundi ya Walawi wa Yuda waliishi huko Benyamini.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baadhi ya makundi ya Walawi wa Yuda waliishi huko Benyamini.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wa Walawi, wengine walikaa katika Yuda na wengine katika Benyamini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Nehemia 11:36
5 Marejeleo ya Msalaba  

Ghadhabu yao na ilaaniwe, maana ilikuwa kali, Na hasira yao, maana ilikuwa haina huruma. Nitawagawa katika Yakobo, Nitawatawanya katika Israeli.


Lodi, na Ono, lililokuwa bonde la mafundi.


Basi, hawa ndio makuhani na Walawi waliopanda na Zerubabeli, mwana wa Shealueli, na Yoshua; Seraya, Yeremia, Ezra;