Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Nehemia 10:9 - Swahili Revised Union Version

Na Walawi; ndio, Yeshua, mwana wa Azania, Binui wa wana wa Henadadi, Kadmieli;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Pia majina ya Walawi: Yeshua, mwana wa Azania, Binui, wazawa wa Henadadi, Kadmieli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Pia majina ya Walawi: Yeshua, mwana wa Azania, Binui, wazawa wa Henadadi, Kadmieli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Pia majina ya Walawi: Yeshua, mwana wa Azania, Binui, wazawa wa Henadadi, Kadmieli.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Walawi: Yeshua mwana wa Azania, Binui wa wana wa Henadadi, Kadmieli,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Walawi: Yeshua mwana wa Azania, Binui wa wana wa Henadadi, Kadmieli,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na Walawi; ndio, Yeshua, mwana wa Azania, Binui wa wana wa Henadadi, Kadmieli;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Nehemia 10:9
10 Marejeleo ya Msalaba  

na ndugu zao, Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani;


Maazia, Bilgai, Shemaya; hao ndio waliokuwa makuhani.


Nao wakuu wa Walawi; Hashabia, Sherebia, Yeshua, Binui, Kadmieli, na ndugu zao kuwaelekea, ili kusifu na kushukuru, kama amri ya Daudi, mtu wa Mungu, zamu kwa zamu.


na Yuda, na Benyamini, na Shemaya, na Yeremia,


Tena Walawi; Yeshua, Binui, Kadmieli, Sherebia, Yuda, na Matania, aliyekuwa juu ya shukrani, yeye na ndugu zake.


Baada yake Binui, mwana wa Henadadi, alitengeneza sehemu nyingine, kuanzia kwenye nyumba ya Azaria mpaka ugeukapo ukuu, na mpaka pembeni.


Walawi; Wana wa Yeshua, wa Kadmieli wa wana wa Hodavia, sabini na wanne.


Tena Yeshua, na Bani, na Sherebia, na Yamini, na Akubu, na Shabethai, na Hodai, na Maaseya, na Kelita, na Azaria, na Yozabadi, na Hanani, na Pelaya, nao ni Walawi, wakawafahamisha watu torati; na watu wakasimama mahali pao.


Ndipo wakasimama katika jukwaa la Walawi, Yeshua, na Bani, na Kadmieli, na Shebania, na Buni, na Sherebia, na Bani, na Kenani, wakamlilia BWANA, Mungu wao, kwa sauti kuu.