Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Nehemia 10:9 - Swahili Revised Union Version

9 Na Walawi; ndio, Yeshua, mwana wa Azania, Binui wa wana wa Henadadi, Kadmieli;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Pia majina ya Walawi: Yeshua, mwana wa Azania, Binui, wazawa wa Henadadi, Kadmieli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Pia majina ya Walawi: Yeshua, mwana wa Azania, Binui, wazawa wa Henadadi, Kadmieli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Pia majina ya Walawi: Yeshua, mwana wa Azania, Binui, wazawa wa Henadadi, Kadmieli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Walawi: Yeshua mwana wa Azania, Binui wa wana wa Henadadi, Kadmieli,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Walawi: Yeshua mwana wa Azania, Binui wa wana wa Henadadi, Kadmieli,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Na Walawi; ndio, Yeshua, mwana wa Azania, Binui wa wana wa Henadadi, Kadmieli;

Tazama sura Nakili




Nehemia 10:9
10 Marejeleo ya Msalaba  

na ndugu zao, Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani;


Maazia, Bilgai, Shemaya; hao ndio waliokuwa makuhani.


Nao wakuu wa Walawi; Hashabia, Sherebia, Yeshua, Binui, Kadmieli, na ndugu zao kuwaelekea, ili kusifu na kushukuru, kama amri ya Daudi, mtu wa Mungu, zamu kwa zamu.


na Yuda, na Benyamini, na Shemaya, na Yeremia,


Tena Walawi; Yeshua, Binui, Kadmieli, Sherebia, Yuda, na Matania, aliyekuwa juu ya shukrani, yeye na ndugu zake.


Baada yake Binui, mwana wa Henadadi, alitengeneza sehemu nyingine, kuanzia kwenye nyumba ya Azaria mpaka ugeukapo ukuu, na mpaka pembeni.


Walawi; Wana wa Yeshua, wa Kadmieli wa wana wa Hodavia, sabini na wanne.


Tena Yeshua, na Bani, na Sherebia, na Yamini, na Akubu, na Shabethai, na Hodai, na Maaseya, na Kelita, na Azaria, na Yozabadi, na Hanani, na Pelaya, nao ni Walawi, wakawafahamisha watu torati; na watu wakasimama mahali pao.


Ndipo wakasimama katika jukwaa la Walawi, Yeshua, na Bani, na Kadmieli, na Shebania, na Buni, na Sherebia, na Bani, na Kenani, wakamlilia BWANA, Mungu wao, kwa sauti kuu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo