Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Nehemia 10:10 - Swahili Revised Union Version

na ndugu zao, Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Na ndugu zao waliotia sahihi ni: Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Na ndugu zao waliotia sahihi ni: Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Na ndugu zao waliotia sahihi ni: Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

na wenzao: Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

na wenzao: Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na ndugu zao, Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Nehemia 10:10
10 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa mkewe Hodia, dada yake Nahamu, walikuwa babaye Keila, Mgarmi, na Eshtemoa, Mmaaka.


Na wa Walawi; Yozabadi, na Shimei, na Kelaya (ndiye Kelita), na Pethahia, na Yuda, na Eliezeri.


Hata siku ya nne, hizo fedha na dhahabu na vile vyombo vilipimwa ndani ya nyumba ya Mungu, vikatiwa mikononi mwa Meremothi, mwana wa Uria, kuhani; na pamoja naye alikuwapo Eleazari, mwana wa Finehasi; na pamoja nao Yozabadi, mwana wa Yeshua, na Noadia, mwana wa Binui, Walawi;


Mika, Rehobu, Hashabia;


Na Walawi; ndio, Yeshua, mwana wa Azania, Binui wa wana wa Henadadi, Kadmieli;


Tena Walawi; Yeshua, Binui, Kadmieli, Sherebia, Yuda, na Matania, aliyekuwa juu ya shukrani, yeye na ndugu zake.


Baada yake Binui, mwana wa Henadadi, alitengeneza sehemu nyingine, kuanzia kwenye nyumba ya Azaria mpaka ugeukapo ukuu, na mpaka pembeni.


Walawi; Wana wa Yeshua, wa Kadmieli wa wana wa Hodavia, sabini na wanne.


Tena Yeshua, na Bani, na Sherebia, na Yamini, na Akubu, na Shabethai, na Hodai, na Maaseya, na Kelita, na Azaria, na Yozabadi, na Hanani, na Pelaya, nao ni Walawi, wakawafahamisha watu torati; na watu wakasimama mahali pao.