Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 9:9 - Swahili Revised Union Version

Tazama, nilithibitisha agano langu nanyi; tena na uzao wenu baada yenu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Ninaweka agano langu nanyi na wazawa wenu

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Ninaweka agano langu nanyi na wazawa wenu

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Ninaweka agano langu nanyi na wazawa wenu

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Sasa mimi ninaweka agano langu nanyi, pamoja na uzao wenu baada yenu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Sasa mimi ninaweka Agano langu nanyi, pamoja na uzao wenu baada yenu,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tazama, nilithibitisha agano langu nanyi; tena na uzao wenu baada yenu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 9:9
11 Marejeleo ya Msalaba  

katika kubariki nitakubariki, na katika kuzidisha nitauzidisha uzao wako kama nyota za mbinguni, na kama mchanga ulioko pwani; na uzao wako utamiliki lango la adui zao;


Lakini nitafanya agano langu nawe kuwa thabiti; nawe utaingia katika safina, wewe, na wanao, na mkeo, na wake za wanao, pamoja nawe.


tena na kila kiumbe hai kilichoko pamoja nanyi, ndege, na mnyama wa kufugwa, na kila mnyama wa mwitu katika nchi pamoja nanyi; wote wanaotoka katika safina, hata kila kilicho hai katika nchi.


Na agano langu nitalithibitisha nanyi; wala kila chenye mwili hakitafutwa tena kwa maji ya gharika; wala hakutakuwa tena gharika, baada ya hayo, kuiharibu nchi.


Mungu akamwambia Nuhu, Hii ndiyo ishara ya agano nililoliweka kati yangu na watu wote walioko katika nchi.


Mungu akamwambia Nuhu, na wanawe pamoja naye, akisema,


BWANA asema hivi, Kama mkiweza kulivunja agano langu la mchana, na agano langu la usiku, hata usiwepo tena mchana na usiku kwa wakati wake,


yaani, habari za Mwanawe, aliyezaliwa katika ukoo wa Daudi kwa jinsi ya mwili,