Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 9:10 - Swahili Revised Union Version

10 tena na kila kiumbe hai kilichoko pamoja nanyi, ndege, na mnyama wa kufugwa, na kila mnyama wa mwitu katika nchi pamoja nanyi; wote wanaotoka katika safina, hata kila kilicho hai katika nchi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 na viumbe vyote hai: Ndege, wanyama wa kufugwa na wanyama wa porini, wote waliotoka katika safina pamoja nanyi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 na viumbe vyote hai: Ndege, wanyama wa kufugwa na wanyama wa porini, wote waliotoka katika safina pamoja nanyi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 na viumbe vyote hai: ndege, wanyama wa kufugwa na wanyama wa porini, wote waliotoka katika safina pamoja nanyi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 pia na kila kiumbe hai kilichokuwa pamoja nanyi: ndege, mifugo, na wanyama pori wote, wale wote waliotoka katika safina pamoja nanyi: kila kiumbe hai duniani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 pia na kila kiumbe hai kilichokuwa pamoja nanyi: Ndege, wanyama wa kufugwa na wanyama wote wa porini, wale wote waliotoka katika safina pamoja nanyi, kila kiumbe hai duniani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 tena na kila kiumbe hai kilichoko pamoja nanyi, ndege, na mnyama wa kufugwa, na kila mnyama wa mwitu katika nchi pamoja nanyi; wote wanaotoka katika safina, hata kila kilicho hai katika nchi.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 9:10
11 Marejeleo ya Msalaba  

Na Mungu akamkumbuka Nuhu, na kila kilicho hai, na wanyama wote waliokuwamo pamoja naye katika safina; Mungu akavumisha upepo juu ya nchi, maji yakapungua;


kila mnyama, na kila kitambaacho, na kila ndege, kila kinachokwenda juu ya nchi kwa makabila yao, wakatoka katika safina.


Na agano langu nitalithibitisha nanyi; wala kila chenye mwili hakitafutwa tena kwa maji ya gharika; wala hakutakuwa tena gharika, baada ya hayo, kuiharibu nchi.


Tazama, nilithibitisha agano langu nanyi; tena na uzao wenu baada yenu;


BWANA ni mwema kwa watu wote, Na rehema zake ziko juu ya vyote alivyoumba.


Nami nitakuposa kwa uaminifu; nawe utamjua BWANA.


na mimi, je! Haikunipasa kuuhurumia Ninawi, mji ule mkubwa; ambao ndani yake wamo watu zaidi ya elfu mia moja na ishirini, wasioweza kupambanua katika mkono wao wa kulia na mkono wao wa kushoto; tena wamo wanyama wa kufugwa wengi sana?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo