Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 9:22 - Swahili Revised Union Version

Hamu, baba wa Kanaani, akauona uchi wa baba yake, akawaeleza ndugu zake wawili waliokuwa nje.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hamu, baba yake Kanaani, aliuona uchi wa baba yake, akatoka nje na kuwaambia ndugu zake wawili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hamu, baba yake Kanaani, aliuona uchi wa baba yake, akatoka nje na kuwaambia ndugu zake wawili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hamu, baba yake Kanaani, aliuona uchi wa baba yake, akatoka nje na kuwaambia ndugu zake wawili.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hamu, baba wa Kanaani, akauona uchi wa baba yake na kuwaeleza ndugu zake wawili waliokuwa nje.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hamu, baba wa Kanaani, akauona uchi wa baba yake na kuwaeleza ndugu zake wawili waliokuwa nje.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hamu, baba wa Kanaani, akauona uchi wa baba yake, akawaeleza ndugu zake wawili waliokuwa nje.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 9:22
17 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Hamu ni Kushi, na Misri, na Putu, na Kanaani.


Shemu na Yafethi wakatwaa vazi, wakalitanda mabegani mwao wote wawili, wakaenda kinyumenyume, wakaufunika uchi wa baba yao; na nyuso zao zilielekea nyuma, wala hawakuuona uchi wa baba yao.


Akasema, Na alaaniwe Kanaani; Atakuwa mtumwa kabisa kwa ndugu zake.


Wana wa Hamu; Kushi, na Misri, na Putu, na Kanaani.


Wafadhaike kwa aibu yao, Wanaoniambia Ewe! Ewe!


Warudi nyuma, na iwe aibu yao, Wanaosema, Ewe! Ewe!


Ujitetee na mwenzako peke yake; Bali usiifunue siri ya mtu mwingine;


Jicho la mtu amdhihakiye babaye, Na kudharau kumtii mamaye; Kunguru wa bondeni wataling'oa, Na vifaranga vya tai watalila.


Ole wake yeye ampaye jirani yake kileo, wewe utiaye sumu yako, na kumlevya pia, ili kuutazama uchi wao!


Na ndugu yako akikukosea, nenda ukamwonye, wewe na yeye peke yenu; akikusikia, umempata nduguyo.


haufurahii udhalimu, bali hufurahi pamoja na kweli;


Ndugu zangu, mtu akishikwa katika kosa lolote, ninyi mlio wa Roho mrejesheni upya mtu kama huyo kwa roho ya upole, ukijiangalia nafsi yako usije ukajaribiwa wewe mwenyewe.