Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 9:21 - Swahili Revised Union Version

21 akanywa divai, akalewa; akawa uchi katika hema yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 akanywa divai, akalewa, kisha akalala uchi hemani mwake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 akanywa divai, akalewa, kisha akalala uchi hemani mwake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 akanywa divai, akalewa, kisha akalala uchi hemani mwake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Alipokunywa huo mvinyo wake, akalewa na akalala uchi kwenye hema lake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Alipokunywa huo mvinyo wake akalewa na akalala uchi kwenye hema lake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 akanywa divai, akalewa; akawa uchi katika hema yake.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 9:21
13 Marejeleo ya Msalaba  

Hivi ndivyo vizazi vya Nuhu. Nuhu alikuwa mtu wa haki, mkamilifu katika vizazi vyake; Nuhu alikwenda pamoja na Mungu.


Nuhu akaanza kuwa mkulima, akapanda mizabibu;


Mvinyo hudhihaki, kileo huleta ugomvi; Na akosaye kwa vitu hivyo hana hekima.


Bila shaka hakuna mwanadamu mwenye haki hapa duniani, atendaye mema pasipo kutenda dhambi.


Kama ilivyohusika na mchana na tuenende kwa adabu; si kwa ulafi na ulevi, si kwa ufisadi na uasherati, si kwa ugomvi na wivu.


Kwa hiyo anayejidhania kuwa amesimama na aangalie asianguke.


husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.


ya kwamba wazee wawe wenye kiasi, wastahivu, wenye busara, wazima katika imani na katika upendo na katika subira.


Nakupa shauri, ununue kwangu dhahabu iliyosafishwa kwa moto, upate kuwa tajiri, na mavazi meupe upate kuvaa, aibu ya uchi wako isionekane, na dawa ya macho ya kujipaka macho yako, upate kuona.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo