Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 7:6 - Swahili Revised Union Version

Naye Nuhu alikuwa mtu wa miaka mia sita hapo hiyo gharika ya maji ilipokuwa juu ya nchi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Noa alikuwa na umri wa miaka 600 wakati gharika ilipotokea nchini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Noa alikuwa na umri wa miaka 600 wakati gharika ilipotokea nchini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Noa alikuwa na umri wa miaka 600 wakati gharika ilipotokea nchini.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nuhu alikuwa na umri wa miaka mia sita gharika ilipokuja juu ya dunia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nuhu alikuwa na miaka 600 gharika ilipokuja juu ya dunia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye Nuhu alikuwa mtu wa miaka mia sita hapo hiyo gharika ya maji ilipokuwa juu ya nchi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 7:6
4 Marejeleo ya Msalaba  

Baada ya Nuhu kufikisha umri wa miaka mia tano, aliwazaa Shemu, na Hamu, na Yafethi.


Katika mwaka wa mia sita wa maisha ya Nuhu, mwezi wa pili, siku ya kumi na saba ya mwezi, siku ile chemchemi zote za vilindi vikuu zilibubujika kwa nguvu, madirisha ya mbinguni yakafunguka.


Ikawa mwaka wa mia sita na moja, mwezi wa kwanza, siku ya kwanza ya mwezi, maji yalikauka juu ya nchi. Nuhu akaondoa kifuniko cha safina, naye akaona, na tazama, uso wa nchi umekauka.


Kwa maana kama vile ilivyokuwa siku za Nuhu, ndivyo kutakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu.