Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 6:15 - Swahili Revised Union Version

Hivi ndivyo utakavyoifanya; dhiraa mia tatu urefu wa safina, dhiraa hamsini upana wake, na dhiraa thelathini kwenda juu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Utaitengeneza hivi: Urefu wake mita 139, upana wake mita 25 na kimo chake mita 15.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Utaitengeneza hivi: Urefu wake mita 139, upana wake mita 25 na kimo chake mita 15.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Utaitengeneza hivi: urefu wake mita 139, upana wake mita 25 na kimo chake mita 15.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivi ndivyo utakavyoitengeneza: Safina iwe na urefu wa dhiraa mia tatu, upana wake dhiraa hamsini, na kimo chake dhiraa thelathini.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hivi ndivyo utakavyoitengeneza: Safina iwe na urefu wa dhiraa 300, upana wake dhiraa hamsini na kimo chake dhiraa thelathini.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hivi ndivyo utakavyoifanya; dhiraa mia tatu urefu wa safina, dhiraa hamsini upana wake, na dhiraa thelathini kwenda juu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 6:15
4 Marejeleo ya Msalaba  

Jitengenezee safina ya mti wa mvinje; tengeneza vyumba ukaifunike kwa lami ndani na nje.


Uifanyie safina mwangaza, ukaumalize juu kiasi cha mkono mmoja; ukautie mlango wa safina katika ubavu wake; ukaifanyie dari tatu, ya chini, ya pili, na ya tatu.


Maji yakaongezeka hata milima ikafunikwa kiasi cha dhiraa kumi na tano.


(Kwani aliyesalia katika mabaki ya Warefai ni Ogu pekee, mfalme wa Bashani; tazama, kitanda chake kilikuwa kitanda cha chuma; kitanda hicho kingali kiko Raba kwa wana wa Amoni? Urefu wake ulikuwa ni dhiraa tisa, na upana wake dhiraa nane, kwa mfano wa mkono wa mtu).