Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 5:6 - Swahili Revised Union Version

Sethi akaishi miaka mia moja na mitano, akamzaa Enoshi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Sethi alipokuwa na umri wa miaka 105, alimzaa Enoshi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Sethi alipokuwa na umri wa miaka 105, alimzaa Enoshi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Sethi alipokuwa na umri wa miaka 105, alimzaa Enoshi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Sethi alipokuwa ameishi miaka mia moja na tano, akamzaa Enoshi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Sethi alipokuwa ameishi miaka 105, akamzaa Enoshi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Sethi akaishi miaka mia moja na mitano, akamzaa Enoshi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 5:6
5 Marejeleo ya Msalaba  

Adamu akamjua mke wake tena; akazaa mwana mwanamume, akamwita jina lake Sethi; maana alisema, Mungu ameniwekea uzao mwingine mahali pa Habili; kwa sababu Kaini alimwua.


Sethi naye akazaa mwana; akamwita jina lake Enoshi. Hapo ndipo watu walipoanza kuliitia Jina la BWANA.


Siku zote za Adamu alizoishi ni miaka mia tisa na thelathini, naye akafa.


Sethi akaishi baada ya kumzaa Enoshi miaka mia nane na saba, akazaa wana, wa kiume na wa kike.


wa Enoshi, wa Sethi, wa Adamu, wa Mungu.