Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 4:25 - Swahili Revised Union Version

25 Adamu akamjua mke wake tena; akazaa mwana mwanamume, akamwita jina lake Sethi; maana alisema, Mungu ameniwekea uzao mwingine mahali pa Habili; kwa sababu Kaini alimwua.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Adamu akalala tena na Hawa mkewe, naye akazaa mtoto wa kiume, akamwita Sethi akisema, “Mungu amenijalia mtoto mahali pa Abeli aliyeuawa na Kaini.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Adamu akalala tena na Hawa mkewe, naye akazaa mtoto wa kiume, akamwita Sethi akisema, “Mungu amenijalia mtoto mahali pa Abeli aliyeuawa na Kaini.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Adamu akalala tena na Hawa mkewe, naye akazaa mtoto wa kiume, akamwita Sethi akisema, “Mungu amenijalia mtoto mahali pa Abeli aliyeuawa na Kaini.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Adamu akakutana kimwili na mke wake tena, akamzaa mwana, akamwita jina Sethi, akisema, “Mungu amenijalia mwana mwingine badala ya Habili, kwa kuwa Kaini alimuua.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Adamu akakutana kimwili na mke wake tena, akamzaa mwana, akamwita Sethi, akisema, “Mungu amenijalia mwana mwingine badala ya Habili, kwa kuwa Kaini alimuua.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Adamu akamjua mke wake tena; akazaa mwana mwanamume, akamwita jina lake Sethi; maana alisema, Mungu ameniwekea uzao mwingine mahali pa Habili; kwa sababu Kaini alimwua.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 4:25
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kaini akamwambia Habili nduguye, [Twende uwandani]. Ikawa walipokuwapo uwandani, Kaini akamwinukia Habili nduguye, akamwua.


Sethi akaishi miaka mia moja na mitano, akamzaa Enoshi.


Adamu, na Sethi, na Enoshi;


wa Enoshi, wa Sethi, wa Adamu, wa Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo