Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 5:6 - Swahili Revised Union Version

6 Sethi akaishi miaka mia moja na mitano, akamzaa Enoshi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Sethi alipokuwa na umri wa miaka 105, alimzaa Enoshi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Sethi alipokuwa na umri wa miaka 105, alimzaa Enoshi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Sethi alipokuwa na umri wa miaka 105, alimzaa Enoshi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Sethi alipokuwa ameishi miaka mia moja na tano, akamzaa Enoshi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Sethi alipokuwa ameishi miaka 105, akamzaa Enoshi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Sethi akaishi miaka mia moja na mitano, akamzaa Enoshi.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 5:6
5 Marejeleo ya Msalaba  

Adamu akamjua mke wake tena; akazaa mwana mwanamume, akamwita jina lake Sethi; maana alisema, Mungu ameniwekea uzao mwingine mahali pa Habili; kwa sababu Kaini alimwua.


Sethi naye akazaa mwana; akamwita jina lake Enoshi. Hapo ndipo watu walipoanza kuliitia Jina la BWANA.


Siku zote za Adamu alizoishi ni miaka mia tisa na thelathini, naye akafa.


Sethi akaishi baada ya kumzaa Enoshi miaka mia nane na saba, akazaa wana, wa kiume na wa kike.


wa Enoshi, wa Sethi, wa Adamu, wa Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo