Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 5:26 - Swahili Revised Union Version

Methusela akaishi baada ya kumzaa Lameki miaka mia saba na themanini na miwili, akazaa wana, wa kiume na wa kike.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka 782, na kupata watoto wengine wa kiume na wa kike.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka 782, na kupata watoto wengine wa kiume na wa kike.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka 782, na kupata watoto wengine wa kiume na wa kike.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka mia saba na themanini na mbili (782), akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka 782, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Methusela akaishi baada ya kumzaa Lameki miaka mia saba na themanini na miwili, akazaa wana, wa kiume na wa kike.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 5:26
3 Marejeleo ya Msalaba  

Methusela akaishi miaka mia moja na themanini na saba, akamzaa Lameki.


Siku zote za Methusela ni miaka mia tisa na sitini na tisa, akafa.


Siku za Adamu baada ya kumzaa Sethi zilikuwa miaka mia nane, akazaa wana, wa kiume na wa kike.