Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 5:15 - Swahili Revised Union Version

Mahalaleli akaishi miaka sitini na mitano, akamzaa Yaredi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mahalaleli alipokuwa na umri wa miaka 65, alimzaa Yaredi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mahalaleli alipokuwa na umri wa miaka 65, alimzaa Yaredi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mahalaleli alipokuwa na umri wa miaka 65, alimzaa Yaredi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mahalaleli alipokuwa ameishi miaka sitini na tano, akamzaa Yaredi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mahalaleli alipokuwa ameishi miaka sitini na mitano, akamzaa Yaredi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mahalaleli akaishi miaka sitini na mitano, akamzaa Yaredi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 5:15
5 Marejeleo ya Msalaba  

Siku zote za Kenani ni miaka mia tisa na kumi, akafa.


Mahalaleli akaishi baada ya kumzaa Yaredi miaka mia nane na thelathini, akazaa wana, wa kiume na wa kike.


Henoko akaishi miaka sitini na mitano, akamzaa Methusela.


na Kenani, na Mahalaleli, na Yaredi;


wa Methusela, wa Henoko, wa Yaredi, wa Mahalaleli, wa Kenani,