Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 43:10 - Swahili Revised Union Version

maana kama hatungalikawia, hakika tungaliisha kurudi mara ya pili.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kama tusingalikawia, tungalikuwa tumekwisha kwenda na kurudi mara mbili.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kama tusingalikawia, tungalikuwa tumekwisha kwenda na kurudi mara mbili.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kama tusingalikawia, tungalikuwa tumekwisha kwenda na kurudi mara mbili.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hakika, kama hatukuchelewa kuondoka, tungekuwa tumeenda na kurudi mara mbili.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hakika, kama hatukuchelewa kuondoka, tungekuwa tumekwenda na kurudi mara mbili.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

maana kama hatungalikawia, hakika tungaliisha kurudi mara ya pili.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 43:10
3 Marejeleo ya Msalaba  

Akakawiakawia; nao wale watu wakamshika mkono, na mkono wa mkewe, na mkono wa binti zake wawili, kwa jinsi BWANA alivyomhurumia, wakamtoa wakamweka nje ya mji.


Israeli, baba yao, akawaambia, Kama ndivyo, fanyeni hivi; twaeni tunu za nchi katika vyombo vyenu, mkamchukulie mtu huyo zawadi, zeri kidogo, na asali kidogo, ubani, na manemane, na jozi, na lozi.


Mimi nitakuwa mdhamini wake, umtake mkononi mwangu. Nisipomleta tena kwako, na kumweka mbele yako, nitakuwa mwenye hatia mbele yako daima;