Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 43:10 - Swahili Revised Union Version

10 maana kama hatungalikawia, hakika tungaliisha kurudi mara ya pili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Kama tusingalikawia, tungalikuwa tumekwisha kwenda na kurudi mara mbili.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Kama tusingalikawia, tungalikuwa tumekwisha kwenda na kurudi mara mbili.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Kama tusingalikawia, tungalikuwa tumekwisha kwenda na kurudi mara mbili.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Hakika, kama hatukuchelewa kuondoka, tungekuwa tumeenda na kurudi mara mbili.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Hakika, kama hatukuchelewa kuondoka, tungekuwa tumekwenda na kurudi mara mbili.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 maana kama hatungalikawia, hakika tungaliisha kurudi mara ya pili.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 43:10
3 Marejeleo ya Msalaba  

Akakawiakawia; nao wale watu wakamshika mkono, na mkono wa mkewe, na mkono wa binti zake wawili, kwa jinsi BWANA alivyomhurumia, wakamtoa wakamweka nje ya mji.


Israeli, baba yao, akawaambia, Kama ndivyo, fanyeni hivi; twaeni tunu za nchi katika vyombo vyenu, mkamchukulie mtu huyo zawadi, zeri kidogo, na asali kidogo, ubani, na manemane, na jozi, na lozi.


Mimi nitakuwa mdhamini wake, umtake mkononi mwangu. Nisipomleta tena kwako, na kumweka mbele yako, nitakuwa mwenye hatia mbele yako daima;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo