Mwanzo 19:16 - Swahili Revised Union Version16 Akakawiakawia; nao wale watu wakamshika mkono, na mkono wa mkewe, na mkono wa binti zake wawili, kwa jinsi BWANA alivyomhurumia, wakamtoa wakamweka nje ya mji. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Loti akawa anasitasita. Lakini kwa vile Mwenyezi-Mungu alivyomhurumia Loti, wale malaika wakamshika yeye, mkewe na binti zake wawili, wakamtoa nje ya mji. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Loti akawa anasitasita. Lakini kwa vile Mwenyezi-Mungu alivyomhurumia Loti, wale malaika wakamshika yeye, mkewe na binti zake wawili, wakamtoa nje ya mji. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Loti akawa anasitasita. Lakini kwa vile Mwenyezi-Mungu alivyomhurumia Loti, wale malaika wakamshika yeye, mkewe na binti zake wawili, wakamtoa nje ya mji. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Alipositasita, wale wanaume wakamshika mkono wake, na mikono ya mke wake na binti zake wawili na kuwaongoza salama nje ya mji, kwa kuwa Mwenyezi Mungu aliwahurumia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Alipositasita, wale watu wakamshika mkono wake na mikono ya mke wake na binti zake wawili na kuwaongoza salama nje ya mji, kwa kuwa bwana alikuwa na huruma kwao. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI16 Akakawiakawia; nao wale watu wakamshika mkono, na mkono wa mkewe, na mikono ya binti zake wawili, kwa jinsi BWANA alivyomhurumia, wakamtoa wakamweka nje ya mji. Tazama sura |