Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 4:3 - Swahili Revised Union Version

Ikawa hatimaye Kaini akaleta mazao ya ardhi, sadaka kwa BWANA.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baada ya muda fulani, Kaini alimtolea Mwenyezi-Mungu sadaka kutokana na mazao ya shambani,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baada ya muda fulani, Kaini alimtolea Mwenyezi-Mungu sadaka kutokana na mazao ya shambani,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Baada ya muda fulani, Kaini alimtolea Mwenyezi-Mungu sadaka kutokana na mazao ya shambani,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baada ya muda, Kaini akaleta baadhi ya mazao ya shamba ikiwa sadaka kwa Mwenyezi Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baada ya muda Kaini akaleta baadhi ya mazao ya shamba kama sadaka kwa bwana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ikawa hatimaye Kaini akaleta mazao ya ardhi, sadaka kwa BWANA.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 4:3
7 Marejeleo ya Msalaba  

Akaongeza akamzaa ndugu yake, Habili. Habili alikuwa mchunga kondoo, na Kaini alikuwa mkulima.


Habili naye akaleta wazao wa kwanza wa wanyama wake na sehemu zilizonona za wanyama. BWANA akamtakabali Habili na sadaka yake;


Ikawa, baada ya siku kupita, kile kijito kikakatika, kwa sababu mvua haikunyesha katika nchi.


Lakini wakati huo wote mimi sikuwako huko Yerusalemu; maana katika mwaka wa thelathini na mbili wa Artashasta, mfalme wa Babeli, nilimrudia mfalme; na baada ya siku kadhaa nikaomba ruhusa tena kwa mfalme.


Yaliyo mazuri katika mafuta, na yaliyo mazuri ya mavuno ya zabibu, na ya mavuno ya nafaka, malimbuko yake watakayompa BWANA, hayo nimekupa wewe.


Ole wao! Kwa sababu walikwenda katika njia ya Kaini, na kulifuata kosa la Balaamu pasipo kujizuia, kwa ajili ya malipo, nao wameangamia katika maasi ya Kora.