Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 4:20 - Swahili Revised Union Version

Ada akamzaa Yabali; huyo ndiye baba yao wakaao katika hema na kufuga wanyama.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ada alimzaa Yabali ambaye alikuwa baba yao wafugaji waishio mahemani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ada alimzaa Yabali ambaye alikuwa baba yao wafugaji waishio mahemani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ada alimzaa Yabali ambaye alikuwa baba yao wafugaji waishio mahemani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ada akamzaa Yabali; huyu akawa baba wa wale wanaoishi katika mahema na kufuga wanyama.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ada akamzaa Yabali ambaye ni baba wa wale walioishi katika mahema na kufuga wanyama.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ada akamzaa Yabali; huyo ndiye baba yao wakaao katika hema na kufuga wanyama.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 4:20
10 Marejeleo ya Msalaba  

Watoto wakakua, Esau alikuwa mtu ajuaye kuwinda wanyama, mtu wa nyikani, na Yakobo alikuwa mtu mtulivu, mwenye kukaa hemani.


Lameki akajitwalia wake wawili, jina la wa kwanza ni Ada, na jina la wa pili ni Sila.


Akaongeza akamzaa ndugu yake, Habili. Habili alikuwa mchunga kondoo, na Kaini alikuwa mkulima.


Na jina la nduguye aliitwa Yubali; huyo ndiye baba ya wote wapigao kinubi na filimbi.


Ninyi ni wa baba yenu, Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yake mwenyewe; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba wa uongo.


Kwa imani alikaa ugenini katika ile nchi ya ahadi, kama katika nchi isiyo yake, akikaa katika hema pamoja na Isaka na Yakobo, warithi pamoja naye wa ahadi ile ile.