Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 4:21 - Swahili Revised Union Version

21 Na jina la nduguye aliitwa Yubali; huyo ndiye baba ya wote wapigao kinubi na filimbi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Ndugu yake alikuwa Yubali; huyo alikuwa baba yao wanamuziki wote wapigao zeze na filimbi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Ndugu yake alikuwa Yubali; huyo alikuwa baba yao wanamuziki wote wapigao zeze na filimbi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Ndugu yake alikuwa Yubali; huyo alikuwa baba yao wanamuziki wote wapigao zeze na filimbi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Kaka yake aliitwa Yubali, aliyekuwa baba wa wote wapigao zeze na filimbi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Kaka yake aliitwa Yubali, aliyekuwa baba wa wote wapigao zeze na filimbi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Na jina la nduguye aliitwa Yubali; huyo ndiye baba ya wote wapigao kinubi na filimbi.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 4:21
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mbona umekimbia kwa siri ukanihadaa, wala hukuniambia, nipate kuagana nawe uende zako kwa furaha, na nyimbo, na ngoma, na kinubi?


Ada akamzaa Yabali; huyo ndiye baba yao wakaao katika hema na kufuga wanyama.


Sila naye akamzaa Tubal-kaini, mfua kila chombo cha kukatia, cha shaba na cha chuma; na dada yake Tubal-kaini alikuwa Naama.


Huimba kwa matari na kwa kinubi, Na kuifurahia sauti ya filimbi.


Msifuni kwa matari na kucheza; Msifuni kwa zeze na filimbi;


Na kinubi, na zeze, na matari, na filimbi, na mvinyo, zote ziko katika karamu zao; lakini hawaiangalii kazi ya BWANA wala kuyafikiri matendo ya mikono yake.


ninyi mnaoimba nyimbo za upuzi pamoja na sauti ya vinanda, na kujifanyia vinanda vya namna nyingi, kama vile Daudi;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo