Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 39:18 - Swahili Revised Union Version

Ikawa nilipopaza sauti yangu, nikalia, akaacha nguo yake kwangu akakimbia nje.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini mara tu nilipopiga kelele, aliliacha vazi lake na kukimbilia nje.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini mara tu nilipopiga kelele, aliliacha vazi lake na kukimbilia nje.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini mara tu nilipopiga kelele, aliliacha vazi lake na kukimbilia nje.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini mara nilipopiga yowe kuomba msaada, akaliacha vazi lake kando yangu, akakimbia nje ya nyumba.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini mara nilipopiga kelele kuomba msaada, akaliacha vazi lake kando yangu akakimbia nje ya nyumba.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ikawa nilipopaza sauti yangu, nikalia, akaacha nguo yake kwangu akakimbia nje.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 39:18
2 Marejeleo ya Msalaba  

Naye akamwambia maneno yayo hayo, akisema, Yule mtumwa Mwebrania uliyemleta kwetu, aliingia kwangu anidhihaki.


Ikawa bwana wake aliposikia maneno aliyoambia na mkewe, akisema, Mtumwa wako amenitendea mambo kama haya, hasira yake ikawaka.