Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 30:10 - Swahili Revised Union Version

Zilpa, mjakazi wa Lea, akamzalia Yakobo mwana.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Zilpa akamzalia Yakobo mtoto wa kiume.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Zilpa akamzalia Yakobo mtoto wa kiume.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Zilpa akamzalia Yakobo mtoto wa kiume.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Zilpa mjakazi wa Lea akamzalia Yakobo mwana.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtumishi wa Lea yaani Zilpa, akamzalia Yakobo mwana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Zilpa, mjakazi wa Lea, akamzalia Yakobo mwana.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 30:10
6 Marejeleo ya Msalaba  

Lea akasema, Bahati njema! Akamwita jina lake Gadi.


Lea alipoona ya kuwa ameacha kuzaa, alimtwaa Zilpa, mjakazi wake, akampa Yakobo kuwa mkewe.


Wana wa Zilpa, kijakazi wa Lea, ni Gadi na Asheri. Hawa ndio wana wa Yakobo aliozaliwa katika Padan-aramu.


Na mpakani mwa Zabuloni, toka upande wa mashariki hata upande wa magharibi; Gadi, fungu moja.


Katika wana wa Gadi, kwa kufuata vizazi vyao, jamaa zao, na nyumba za baba zao, kama hesabu ya majina, kuanzia umri wa miaka ishirini na zaidi, wote walioweza kwenda vitani;


Basi wana wa Reubeni, na hao wana wa Gadi, walikuwa na wanyama wa mifugo wengi sana; nao walipoona nchi ya Yazeri, na nchi ya Gileadi, ya kuwa mahali hapo palikuwa ni mahali pa kuwafaa wanyama;