Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 3:3 - Swahili Revised Union Version

lakini matunda ya mti ulio katikati ya bustani Mungu amesema, Msiyale wala msiyaguse, msije mkafa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

lakini Mungu alisema, ‘Msile matunda ya mti ulio katikati ya bustani, wala msiuguse, msije mkafa.’”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

lakini Mungu alisema, ‘Msile matunda ya mti ulio katikati ya bustani, wala msiuguse, msije mkafa.’”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

lakini Mungu alisema, ‘Msile matunda ya mti ulio katikati ya bustani, wala msiuguse, msije mkafa.’”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

lakini Mungu alisema, ‘Kamwe msile tunda la mti ulio katikati ya bustani, wala kuugusa, la sivyo mtakufa.’ ”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

lakini Mungu alisema, ‘Kamwe msile tunda la mti ulio katikati ya bustani, wala kuugusa, la sivyo mtakufa.’ ”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

lakini matunda ya mti ulio katikati ya bustani Mungu amesema, Msiyale wala msiyaguse, msije mkafa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 3:3
12 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akamwambia katika ndoto, Nami nimejua ya kwamba kwa ukamilifu wa moyo wako umefanya hivi, ndipo nami nikakuzuia usinitendee dhambi, kwa hiyo sikukuacha umguse.


Mwanamke akamwambia nyoka, Matunda ya miti ya bustanini twaweza kula;


Nyoka akamwambia mwanamke, Hakika hamtakufa,


Akisema, Msiwaguse masihi wangu, Wala msiwadhuru nabii zangu.


Lakini nyosha mkono wako sasa, uyaguse hayo yote aliyo nayo, naye atakukufuru mbele za uso wako.


Nihurumieni, nihurumieni, enyi rafiki zangu, Kwa maana mkono wa Mungu umenigusa.


Lakini sasa nyosha mkono wako, uuguse mfupa wake na nyama yake, naye atakukufuru mbele za uso wako.


Basi kuhusu mambo yale mliyoandika, ni heri mwanamume asimguse mwanamke.


Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha.


Msishike, msionje, msiguse;