Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 3:4 - Swahili Revised Union Version

4 Nyoka akamwambia mwanamke, Hakika hamtakufa,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Nyoka akamwambia mwanamke, “Hamtakufa!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Nyoka akamwambia mwanamke, “Hamtakufa!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Nyoka akamwambia mwanamke, “Hamtakufa!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Lakini nyoka akamwambia mwanamke, “Hakika hamtakufa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Lakini nyoka akamwambia mwanamke, “Hakika hamtakufa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Nyoka akamwambia mwanamke, Hakika hamtakufa,

Tazama sura Nakili




Mwanzo 3:4
13 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA Mungu akamwambia mwanamke, Nini hili ulilolifanya? Mwanamke akasema, Nyoka alinidanganya, nikala.


lakini matunda ya mti ulio katikati ya bustani Mungu amesema, Msiyale wala msiyaguse, msije mkafa.


Akamwambia, BWANA asema hivi, Kwa kuwa umetuma wajumbe waulize kwa Baal-zebubu, mungu wa Ekroni, je! Ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli, uulize neno lake? Kwa hiyo hutashuka katika kile kitanda ulichokipanda, bali hakika utakufa.


Basi sasa, BWANA asema hivi, Hutashuka katika kile kitanda ulichokipanda, bali hakika utakufa. Eliya akaondoka.


Wakamwambia, Mtu alitokea, akaonana nasi, akatuambia, Nendeni, rudini kwa mfalme yule aliyewatuma, mkamwambie, BWANA asema hivi Je! Ni kwa sababu hapana Mungu katika Israeli, hata mnakwenda kuuliza kwa Baal-zebubu, mungu wa Ekroni? Basi kwa ajili ya hayo hutashuka katika kile kitanda ulichokipanda, bali hakika utakufa.


Elisha akamwambia, Nenda, ukamwambie, Bila shaka utapona; lakini BWANA amenionesha ya kwamba bila shaka atakufa.


Akasema, Nitaondoka, na kuwa pepo wa uongo vinywani mwa manabii wake wote. Akasema, Utamdanganya, na kufanikiwa pia; ondoka, ukafanye hivyo.


Asema moyoni mwake, Mungu amesahau, Auficha uso wake, haoni kamwe.


Ninyi ni wa baba yenu, Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yake mwenyewe; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba wa uongo.


Lakini nahofu; kama yule nyoka alivyomdanganya Hawa kwa hila yake, asije akawaharibu fikira zenu, mkauacha unyofu na usafi kwa Kristo.


Shetani asije akapata kutushinda; kwa maana hatukosi kuzijua fikira zake.


ikawa asikiapo maneno ya laana hii, ajibarikie mtu huyo moyoni mwake, na kusema, Nitakuwa katika amani, nijapotembea katika upotoe wa moyo wangu kwa kuangamiza mbichi na kavu;


Wala Adamu hakudanganywa, ila mwanamke alidanganywa kabisa akaingia katika hali ya kukosa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo