Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 28:8 - Swahili Revised Union Version

Esau akaona ya kuwa binti za Kanaani hawakumpendeza Isaka, baba yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Esau akafahamu kwamba baba yake hapendezwi na wanawake wa Kanaani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Esau akafahamu kwamba baba yake hapendezwi na wanawake wa Kanaani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Esau akafahamu kwamba baba yake hapendezwi na wanawake wa Kanaani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Esau akatambua jinsi baba yake Isaka alivyowachukia binti za Wakanaani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Esau akatambua jinsi ambavyo baba yake Isaka anavyowachukia binti za Wakanaani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Esau akaona ya kuwa binti za Kanaani hawakumpendeza Isaka, baba yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 28:8
6 Marejeleo ya Msalaba  

nami nitakuapisha kwa BWANA, Mungu wa mbingu, na Mungu wa nchi, kwamba hutamtwalia mwanangu mke katika binti za Wakanaani ambao nakaa kati yao;


Rebeka akamwambia Isaka, Rohoni mwangu sina raha kwa sababu ya hao binti za Hethi. Kama Yakobo akitwaa mke katika binti za Hethi, kama hawa binti za nchi, maisha yangu yatanifaidi nini?


Basi Isaka akamwita Yakobo, akambariki, akamwagiza akamwambia, Usitwae mke wa binti za Kanaani.


na ya kuwa Yakobo amewatii babaye na mamaye, akaenda Padan-aramu.


Lakini neno hilo likawa baya machoni pa Samweli, waliposema, Tupe mfalme atuamue. Naye Samweli akamwomba BWANA.