Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 27:23 - Swahili Revised Union Version

Wala hakumtambua, kwa maana mikono yake ilikuwa kama mikono ya Esau, ndugu yake, yenye malaika; basi akambariki.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hakumtambua kwa sababu mikono yake ilikuwa yenye nywele nyingi kama ya Esau kaka yake; kwa hiyo akambariki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hakumtambua kwa sababu mikono yake ilikuwa yenye nywele nyingi kama ya Esau kaka yake; kwa hiyo akambariki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hakumtambua kwa sababu mikono yake ilikuwa yenye nywele nyingi kama ya Esau kaka yake; kwa hiyo akambariki.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hakumtambua, kwa sababu mikono yake ilikuwa na nywele kama ya ndugu yake Esau, kwa hiyo akambariki.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hakumtambua, kwa sababu mikono yake ilikuwa na nywele kama ya ndugu yake Esau, kwa hiyo akambariki.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wala hakumtambua, kwa maana mikono yake ilikuwa kama mikono ya Esau, ndugu yake, yenye malaika; basi akambariki.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 27:23
6 Marejeleo ya Msalaba  

Yakobo akamwambia Rebeka mamaye, Esau ndugu yangu ni mtu mwenye malaika, na mimi ni mtu laini.


Na ngozi za wana-mbuzi akamvika mikononi, na katika ulaini wa shingo yake.


Basi Yakobo akamkaribia Isaka, babaye, naye akampapasa, akasema, Sauti ni sauti ya Yakobo, lakini mikono ni mikono ya Esau.


Akamwuliza, Wewe ndiwe kweli mwanangu Esau? Akasema, Ndimi.


Kwa imani Isaka akawabariki Yakobo na Esau, hata kuhusu mambo yatakayokuwa baadaye.