Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 27:11 - Swahili Revised Union Version

11 Yakobo akamwambia Rebeka mamaye, Esau ndugu yangu ni mtu mwenye malaika, na mimi ni mtu laini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Lakini Yakobo akamwambia mama yake Rebeka, “Kumbuka kaka yangu Esau amejaa nywele mwilini, hali mimi sina.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Lakini Yakobo akamwambia mama yake Rebeka, “Kumbuka kaka yangu Esau amejaa nywele mwilini, hali mimi sina.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Lakini Yakobo akamwambia mama yake Rebeka, “Kumbuka kaka yangu Esau amejaa nywele mwilini, hali mimi sina.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Yakobo akamwambia Rebeka mama yake, “Lakini ndugu yangu Esau ana nywele mwilini, nami nina ngozi nyororo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Yakobo akamwambia Rebeka mama yake, “Lakini ndugu yangu Esau ana nywele mwilini, mimi nina ngozi nyororo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Yakobo akamwambia Rebeka mamaye, Esau ndugu yangu ni mtu mwenye malaika, na mimi ni mtu laini.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 27:11
3 Marejeleo ya Msalaba  

Wa kwanza akatoka, naye alikuwa mwekundu mwili wote kama vazi la nywele. Wakamwita jina lake Esau.


Kisha utampelekea baba yako, apate kula, ili akubariki kabla ya kufa kwake.


Wala hakumtambua, kwa maana mikono yake ilikuwa kama mikono ya Esau, ndugu yake, yenye malaika; basi akambariki.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo