Mwanzo 27:16 - Swahili Revised Union Version16 Na ngozi za wana-mbuzi akamvika mikononi, na katika ulaini wa shingo yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Akamvika pia ngozi za wale wanambuzi mikononi na kwenye sehemu laini shingoni mwake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Akamvika pia ngozi za wale wanambuzi mikononi na kwenye sehemu laini shingoni mwake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Akamvika pia ngozi za wale wanambuzi mikononi na kwenye sehemu laini shingoni mwake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Pia akamfunika mikononi na sehemu laini ya shingo kwa ngozi za mbuzi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Pia akamfunika mikononi na sehemu laini ya shingo kwa ngozi za mbuzi. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI16 Na ngozi za wana-mbuzi akamvika mikononi, na katika ulaini wa shingo yake. Tazama sura |