Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 27:16 - Swahili Revised Union Version

16 Na ngozi za wana-mbuzi akamvika mikononi, na katika ulaini wa shingo yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Akamvika pia ngozi za wale wanambuzi mikononi na kwenye sehemu laini shingoni mwake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Akamvika pia ngozi za wale wanambuzi mikononi na kwenye sehemu laini shingoni mwake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Akamvika pia ngozi za wale wanambuzi mikononi na kwenye sehemu laini shingoni mwake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Pia akamfunika mikononi na sehemu laini ya shingo kwa ngozi za mbuzi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Pia akamfunika mikononi na sehemu laini ya shingo kwa ngozi za mbuzi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 Na ngozi za wana-mbuzi akamvika mikononi, na katika ulaini wa shingo yake.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 27:16
4 Marejeleo ya Msalaba  

Wa kwanza akatoka, naye alikuwa mwekundu mwili wote kama vazi la nywele. Wakamwita jina lake Esau.


Kisha Rebeka akatwaa mavazi mazuri ya Esau mwanawe mkubwa, aliyokuwa nayo nyumbani, akamvika Yakobo mwanawe mdogo.


Naye akampa Yakobo mwanawe mikononi mwake hicho chakula kitamu, na mkate aliouandaa.


Wala hakumtambua, kwa maana mikono yake ilikuwa kama mikono ya Esau, ndugu yake, yenye malaika; basi akambariki.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo