Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 27:23 - Swahili Revised Union Version

23 Wala hakumtambua, kwa maana mikono yake ilikuwa kama mikono ya Esau, ndugu yake, yenye malaika; basi akambariki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Hakumtambua kwa sababu mikono yake ilikuwa yenye nywele nyingi kama ya Esau kaka yake; kwa hiyo akambariki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Hakumtambua kwa sababu mikono yake ilikuwa yenye nywele nyingi kama ya Esau kaka yake; kwa hiyo akambariki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Hakumtambua kwa sababu mikono yake ilikuwa yenye nywele nyingi kama ya Esau kaka yake; kwa hiyo akambariki.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Hakumtambua, kwa sababu mikono yake ilikuwa na nywele kama ya ndugu yake Esau, kwa hiyo akambariki.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Hakumtambua, kwa sababu mikono yake ilikuwa na nywele kama ya ndugu yake Esau, kwa hiyo akambariki.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 Wala hakumtambua, kwa maana mikono yake ilikuwa kama mikono ya Esau, ndugu yake, yenye malaika; basi akambariki.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 27:23
6 Marejeleo ya Msalaba  

Yakobo akamwambia Rebeka mamaye, Esau ndugu yangu ni mtu mwenye malaika, na mimi ni mtu laini.


Na ngozi za wana-mbuzi akamvika mikononi, na katika ulaini wa shingo yake.


Basi Yakobo akamkaribia Isaka, babaye, naye akampapasa, akasema, Sauti ni sauti ya Yakobo, lakini mikono ni mikono ya Esau.


Akamwuliza, Wewe ndiwe kweli mwanangu Esau? Akasema, Ndimi.


Kwa imani Isaka akawabariki Yakobo na Esau, hata kuhusu mambo yatakayokuwa baadaye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo