Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 24:23 - Swahili Revised Union Version

akasema, U binti wa nani wewe? Tafadhali uniambie. Je! Iko nafasi katika nyumba ya baba yako tupate mahali pa kukaa kwa muda?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Akamwuliza, “Niambie tafadhali: Wewe ni binti nani? Je, kuna nafasi ya kulala nyumbani kwenu?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Akamwuliza, “Niambie tafadhali: Wewe ni binti nani? Je, kuna nafasi ya kulala nyumbani kwenu?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Akamwuliza, “Niambie tafadhali: wewe ni binti nani? Je, kuna nafasi ya kulala nyumbani kwenu?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha akamuuliza, “Wewe ni binti ya nani? Tafadhali niambie. Je, kuna nafasi katika nyumba ya baba yako tunapoweza kulala?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha akamuuliza, “Wewe ni binti wa nani? Tafadhali uniambie, je, kuna nafasi katika nyumba ya baba yako tutakapoweza kulala?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

akasema, U binti wa nani wewe? Tafadhali uniambie. Je! Iko nafasi katika nyumba ya baba yako tupate mahali pa kukaa kwa muda?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 24:23
3 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, ngamia walipokwisha kunywa, yule mtu akatwaa pete ya dhahabu, uzani wake ulikuwa nusu shekeli, na vikuku viwili kwa mikono yake, uzani wake ulikuwa shekeli kumi za dhahabu,


Akasema, Mimi ni binti wa Bethueli mwana wa Milka, aliyemzalia Nahori.


Kisha nikamwuliza, U binti wa nani wewe? Naye akasema, Mimi ni binti Bethueli, mwana wa Nahori, Milka aliyemzalia. Nami nikamtia kishaufu puani mwake na vikuku mikononi mwake.