Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 21:13 - Swahili Revised Union Version

Naye mwana wa mjakazi nitamfanya kuwa taifa, maana huyu naye ni uzao wako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Na kuhusu huyo mwana wa mjakazi wako, nitamfanya awe baba wa taifa kubwa kwa kuwa yeye pia ni mtoto wako.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Na kuhusu huyo mwana wa mjakazi wako, nitamfanya awe baba wa taifa kubwa kwa kuwa yeye pia ni mtoto wako.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Na kuhusu huyo mwana wa mjakazi wako, nitamfanya awe baba wa taifa kubwa kwa kuwa yeye pia ni mtoto wako.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nitamfanya huyu mwana wa mjakazi wako kuwa taifa pia, kwa sababu naye ni uzao wako.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nitamfanya huyu mwana wa mtumishi wako wa kike kuwa taifa pia, kwa sababu naye ni uzao wako.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye mwana wa mjakazi nitamfanya kuwa taifa, maana huyu naye ni uzao wako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 21:13
5 Marejeleo ya Msalaba  

Malaika wa BWANA akamwambia, Hakika nitauzidisha uzao wako, wala hautahesabika kwa jinsi utakavyokuwa mwingi.


Kuhusu Ishmaeli nimekusikia, nimembariki na nitamzidisha na kumwongeza sana. Atakuwa baba wa watawala kumi na wawili, na atakuwa na taifa kuu.


Abrahamu akaamka asubuhi na mapema akatwaa mkate na kiriba cha maji, akampa Hajiri akamtwika begani pake, na kijana, akamruhusu; naye akatoka, akapotea katika jangwa la Beer-sheba.


Ondoka, ukamwinue kijana, ukamshike mkononi mwako, kwa kuwa nitamfanya kuwa taifa kubwa.