Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 19:18 - Swahili Revised Union Version

Lutu akawaambia, Sivyo, bwana wangu!

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Loti akawaambia, “La, bwana zangu!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Loti akawaambia, “La, bwana zangu!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Loti akawaambia, “La, bwana zangu!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini Lutu akawajibu, “La hasha, bwana zangu, tafadhalini!

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini Lutu akawajibu, “La hasha, bwana zangu, tafadhalini!

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lutu akawaambia, Sivyo, bwana wangu!

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 19:18
8 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa walipomtoa nje, mmoja alisema, Jiponye nafsi yako usitazame nyuma, wala usisimame katika hilo bonde popote; ujiponye mlimani, usije ukaangamia.


Tazama, mtumwa wako ameona kibali machoni pako, nawe umezidisha rehema zako ulizonifanyia kwa kuponya nafsi yangu, nami siwezi kukimbilia mlimani nisipatwe na yale mabaya, nikafa.


Akasema, Niache, niende, maana kunapambazuka. Akasema, Sikuachi, usiponibariki.


BWANA, Mtakatifu wa Israeli, na Muumba wake, asema hivi; Niulize habari za mambo yatakayokuja; mambo ya wana wangu, na habari ya kazi ya mikono yangu; haya! Niagizeni.


Lakini Petro akasema, La, hasha! Bwana, kwa maana sijawahi kula kitu kilicho kichafu au najisi.


Lakini Anania akajibu, Bwana, nimesikia habari za mtu huyu kwa watu wengi, mabaya mengi aliyowatenda watakatifu wako Yerusalemu;