Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 19:18 - Swahili Revised Union Version

18 Lutu akawaambia, Sivyo, bwana wangu!

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Loti akawaambia, “La, bwana zangu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Loti akawaambia, “La, bwana zangu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Loti akawaambia, “La, bwana zangu!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Lakini Lutu akawajibu, “La hasha, bwana zangu, tafadhalini!

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Lakini Lutu akawajibu, “La hasha, bwana zangu, tafadhalini!

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Lutu akawaambia, Sivyo, bwana wangu!

Tazama sura Nakili




Mwanzo 19:18
8 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa walipomtoa nje, mmoja alisema, Jiponye nafsi yako usitazame nyuma, wala usisimame katika hilo bonde popote; ujiponye mlimani, usije ukaangamia.


Tazama, mtumwa wako ameona kibali machoni pako, nawe umezidisha rehema zako ulizonifanyia kwa kuponya nafsi yangu, nami siwezi kukimbilia mlimani nisipatwe na yale mabaya, nikafa.


Akasema, Niache, niende, maana kunapambazuka. Akasema, Sikuachi, usiponibariki.


BWANA, Mtakatifu wa Israeli, na Muumba wake, asema hivi; Niulize habari za mambo yatakayokuja; mambo ya wana wangu, na habari ya kazi ya mikono yangu; haya! Niagizeni.


Lakini Petro akasema, La, hasha! Bwana, kwa maana sijawahi kula kitu kilicho kichafu au najisi.


Lakini Anania akajibu, Bwana, nimesikia habari za mtu huyu kwa watu wengi, mabaya mengi aliyowatenda watakatifu wako Yerusalemu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo